Katika hali ya kawaida, mchezo huu ungebeba kila aina ya mvutano, makelele yangepigwa wiki nzima. Huu ndiyo mchezo wa kuamua ...
Rekodi nzuri ya Simba kufuzu robo fainali michuano ya CAF mara saba katika kipindi cha kuanzia 2018 kila inapoingia makundi, inaweza kuwafanya nyota wa kikosi hicho kuingia na tumaini jipya, lakini ...
Klabu mbili maarufu za soka nchini Tanzania, Yanga na Simba zinateremka dimbani leo kwa mchezo wa ratiba ya ligi kuu unaotarajiwa kutoa mwelekeo wa mashindano hayo ya kandanda kwa mwaka 2024/25.
KILICHOTOKEA msimu wa 2012-2013 katika Ligi Kuu Bara, kinabaki kuwa kumbukumbu nzuri kwa Mtibwa Sugar inapokwenda kucheza ...
Hayawi, hayawi sasa yamekuwa! Yamebakia masaa machache tu wa kushuhudia ule mtanange wa Kariakoo Derby uliosubiriwa kwa hamu huko nchini Tanzania kati ya watani wa jadi, Simba Sports Club na Young ...